Familia ya Nyerere yatabiri CHADEMA kushinda 2015
FAMILIA ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, imekitabiria Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ushindi wa kishindo wa kuongoza nchi mwaka 2015.
Content that Counts!
FAMILIA ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, imekitabiria Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ushindi wa kishindo wa kuongoza nchi mwaka 2015.
Katika kuonesha nguvu yake huko kanda ya ziwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimefanya maandamano makubwa na ya kihistoria jijini Mwanza hapo jana ambayo yalihudhuriwa na maelfu ya wanachama, mashabiki…
HALI ni mbaya katika eneo la Gongo la Mboto, kilometa chache kutoka Uwanja wa Kimataifa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya mabomu kulipuka katika maghala ya silaha katika kikosi namba…
WAKATI bado joto likizidi kupanda kuhusiana na sakata la mitambo ya kukodi kwa ajili ya umeme wa dharura kutoka kampuni ya Richmond Development LLC iliyorithiwa na Dowans, Waziri wa Nishati…