Mradi wa Stiegler’s Gorge kutua mikononi mwa Kamati ya Urithi wa Dunia

Kamati ya Urithi wa Dunia ya Umoja wa Mataifa inatarajia kuamua kama Pori la akiba la Selous liondolewe miongoni mwa maeneo ya urithi wa dunia, kufuatia Serikali ya Tanzania kuanza…

Jamii Africa

Vyakula hivi vitakulinda dhidi ya athari za kiafya za uchafuzi wa hewa

Tunaishi katika ulimwengu unaokabiliwa na athari kubwa za mabadiliko ya hali ya hewa. Moja ya athari hizo ni kuongezeka kwa joto na kupungua kwa mvua katika maeneo mbalimbali. Athari hizi…

Jamii Africa

Sheria Mpya ya madini yaanza kuinufaisha Tanzania

Serikali ya Tanzania imeanza kunufaika na sheria mpya ya madini kwa kufanikiwa kukusanya mrabaha wa Tsh Milioni 615 kutoka kwa wachimbaji wadogo wa Tanzanite katika robo ya kwanza ya mwaka…

Jamii Africa

Uuzaji, umiliki wa silaha Rwanda usiwe sababu ya kuvuruga amani Afrika

Hivi karibuni Rwanda imebadili Sheria yake ya mwaka 2009 iliyokuwa inakataza umiliki na uuzwaji wa silaha za moto. Sheria mpya ya silaha za moto nchini humo inaruhusu wananchi kumiliki silaha…

Jacob Mulikuza

Sababu 6 zinazothibitisha kwanini kukosolewa ni jambo zuri

Mark Thomas anasema, kukosolewa kunaweza kuwa kitu kizuri bila kujali imetoka kwa mtu wa aina gani au anayefanya kazi gani. Kukubali kukosolewa yaweza kuwa jambo gumu sana. Katika nafasi fulani…

Jamii Africa

Raia wa Rwanda watahadharishwa kuingia pori la akiba Kimisi Kagera

Rwanda imewaonya raia wake wanaoingia kinyume cha sheria katika Mbuga za Wanyama mkoani Kagera kwa madai kuwa wanahatarisha ujirani mwema baina ya nchi hiyo na Tanzania. Hatua hiyo imekuja siku…

Jamii Africa

Ulaji mbaya wa chakula watajwa kusababisha kansa ya matiti kwa wanawake

Thamani ya maisha haiko kwenye muonekano wa mtu na vitu vinavyomzunguka bali kwenye chakula anachokula kila siku ili kuwa na afya njema. Lakini umewahi kujiuliza, chakula kinawezaje kupunguza uwezekano wa…

Jamii Africa

Sekta ya fedha yatakiwa kuongeza ubunifu kuwafikia wajasiriamali

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga imeitaka sekta ndogo ya benki kuongeza ubunifu kwa kutoa mikopo ya muda mfupi na mrefu ili kuboresha biashara za wajasiriamali…

Jamii Africa

Bei ya nafaka yashuka, wakulima waitaka serikali kufungua milango ya kuuza nje ya nchi

Imeelezwa kuwa uamuzi wa serikali ya Tanzania kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi umeshuha bei ya zao hilo katika ukanda wa Afrika Mashariki. Kushuka kwa bei ya mahindi kumetokea…

Jamii Africa