Wasafirishaji wa kahawa, chai waneemeka na ushuru wa forodha

Wasafirishaji wa kahawa, chai, samaki na ngozi kutokana Tanzania  kufaidika na soko la Afrika Mashariki baada jumuiya hiyo kuanzisha  mfumo wa pamoja wa forodha mipakani unaolenga kuimarisha biashara. Mfumo huo…

Jamii Africa

Wasafiri kutoka China kuipata thamani sekta ya utalii Tanzania

“Nafikiri kichocheo kikubwa cha uchumi wa Tanzania kitakuwa utalii,” hayo yalikuwa maneno ya Gavana Mstaafu, Prof Benno Ndulu wakati wa Mkutano wa mwaka wa taasisi ya utafiti wa uchumi na…

Jamii Africa

Wilaya 6  vinara ugonjwa wa ukoma nchini. Mila potofu zachochea tatizo kwenye jamii

Imeelezwa kuwa watanzania wanashauriwa kuendelea kujihadhari na ugonjwa wa ukoma, licha ya kupungua kwa maambukizi yake katika maeneo mbalimbali nchini. Tahadhari hiyo inatokana na uchunguzi wa Wizara ya Afya, Maendeleo…

Jamii Africa

MPANDA:  Shule inayoongoza kwa ufaulu Kyela licha ya changamoto lukuki

Wanafunzi wa shule ya msingi Mpanda iliyopo kata ya Ipyana wilayani Kyela wanalazimika kusoma kwa kupokezana kutoka na madarasa ya shule ya kuchakaa na kutokufanyiwa ukarabati kwa muda mrefu. Mwalimu…

Jamii Africa

Mgongano wa kisheria unavyokwamisha uwekezaji Afrika Mashariki

Baada ya Tanzania na Kenya kufanya mabadiliko ya kisheria katika sekta ya madini, ripoti mpya ya utafiti imeeleza kuwa hatua hiyo ni kikwazo katika kuvutia uwekezaji katika nchi hizo za…

Jamii Africa

UTAFITI: Watu wanaochelewa kulala wako katika hatari ya kufa mapema

Utafiti uliotolewa hivi karibuni umebaini kuwa watu wanaochelewa kulala wana uwezekano mkubwa wa kufa mapema kuliko wale wanaoamka mapema wakati wa usubuhi. Msingi wa utafiti huo ni kwamba watu wanaolala…

Jamii Africa

Wazazi wahoji elimu bila malipo isiyo na viwango vya ubora

Utafiti mpya uliotolewa na taasisi ya Twaweza unaonyesha kuwa mtazamo wa wananchi kuhusu utoaji elimu bila malipo umebadilika, wengi wao wangependa kulipa ada ili elimu inayotolewa kwa watoto wao izingatie…

Jamii Africa

Tanzania, Kenya zavutana ushuru wa pipi

Serikali ya Kenya imesema itazuia bidhaa za Tanzania kuingia nchini mwake baada ya Mamlaka ya forodha kuendelea kutoza ushuru kwa bidhaa zinazotengenezwa kwa sukari kutoka nchini humo. Bidhaa hizo za…

Jamii Africa

Kwanini ni vigumu kuomba msaada?

Ni matarajio au matamanio ya kila mtu kusaidiwa kukamilisha jambo fulani. Iwe kazini au kwenye shughuli yoyote ya kijamii, utahitaji watu wenye ujuzi na maarifa tofauti tofauti kufanikisha malengo yako.…

Jamii Africa