MUHIMU:Tsunami pwani ya Tanzania saa moja leo: Tahadhari yaondolewa

Jamii Africa

TAHADHARI ya Tsunami: Kuanzia saa moja usiku Tsunami itafika Tanzania na mawimbi yatakuwa makubwa kuanzia muda huo. Taarifa zaidi itatolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania wakati wowote kuanzia sasa, kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk. Agness Kijazi.

TSUNAMI INFORMATION2 _April11_2012

Earthquake_TSUNAMI INFORMATION _April11_2012

Taarifa zilizotolewa jioni hii, zinaeleza kwamba tahadhari kuu sasa imeondolewa baada ya kutokea kwa tetemeko la baharini pwani ya Indonesia na hivyo kupunguza nguvu ya Tsunami katika eneo la pwani ya Hindi, iliyosababisha kizaazaa katika eneo hilo.
Hata hivyo, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na vyombo vya kimataifa vinaendelea kufuatilia kwa karibu hali ya bahari, ufuatiliaji unaofanyika kwa saa 24 na kutatolewa taarifa za mara kwa mara itakapobidi.

 

5 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *