Ukosefu wa taarifa sahihi za viwango na aina ya samaki wakwamisha ujenzi wa viwanda nchini
Tanzania itaanza kufaidika na rasilimali za bahari baada ya kuanza kutekeleza Programu ya Udhibiti na Matumizi Endelevu wa Rasilimali Samaki (EAF-Nansen) kudhibiti mabadiliko ya tabia na uchafuzi wa mazingira yanavyoathiri…