Kempu ya Kimboza ikiwa imetelekezwa kutokana na wanakamati wa mazingira katika msitu wa Kimboza kususia kutokana na kutofaidika na msitu huo kwa madai kuwa vibali vinatolewa holela vya kukata mitiHuo ndio msitu wa Kimboza ambao unapatikana miti aina ya pandama ambayo ni miti pekeee wanayoishi mijusi aina ya gecko ambao hawapatikani duniani kote isipokuwa katika Msitu wa Kimboza ambao upo katika wilaya ya Morogoro kata ya Mkuyuni kijiji cha MwalaziMijusi aina ya ‘Gwanko Williams’ ambao wanapatikana katika miti ain ya Pandama inayopatikana eneo pekee la msitu wa hifadhi ya Kimboza iliyopo katika Kijiji cha Mwarazi, kata ya mkuyuni wilaya ya Morogoro ambao ni rasilimali adimu inapatikana mkoani hapa pekee duniani kote na sasa iko hatarini kupotea kutokana na wafanyabishara haramu wa wanyama kusafirisha kiholelaUsafiri ulionipeleka Kimboza
Post Views:484
4 Comments
nimekupa dada dah kwel ulikuwa kazini na atuna budi kuienz misitu yetu
nimekupa dada dah kwel ulikuwa kazini na atuna budi kuienz misitu yetu
aisee nimekukubali dada yangu kweli wewe ni jembe
endelea hivyo hivyo sister
kwa sasa hali ikoje?