Mwalimu aliyejitoa muhanga kuishi porini

Latifa Ganzel

Mwalimu Salvius Nindi (40)  wa shule ya msingi  Mkenda iliopo mpakani wa Tanzania na Msumbiji akiwa katika moja  ya nyumba zake za kitalii anazojenga kwaajili ya kuboresha kipato chake.

mwalimu huyo haonyeshi masikitiko wala kusita pale alipopangiwa kufundisha katika mazingira ya porini kama ambavyo walimu wengine hukumbia na kuacha kazi wakipangiwa katia maeneo yenye mazingira magumu. yeye anadai kuwa ukiyazoea mazingira magumu na kuyakubali yatakubadirisha maisha yako kama ambavyo yeye alitumia mapori kwa kilimo na sasa ni mfanyabishara mkubwa na anaipend akazi yake.

yeye anawashauri walimu wenzake kutokwepa mazingira magumu kwani kazi ni popote kinachotakiwa tu kuwa wabunifu kulingana na mazingira na kujishughulisha na kazi za ziada badala ya kutegemea kipato cha kazi pekee.

Hata hivyo mwalimu huyu anaishauri serikali kuwafikiria zaidi kwa posho walimu wanaofanya kazi katika mazingira magumu ili kuwatia moyo.

3 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *