Auawa kwa kuchinjwa na kuachanishwa kichwa na kiwiliwili; muuaji atembea na kichwa mtaani!
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mkazi mmoja wa mtaa wa Bugarika jijini Mwanza, Malimi Mathias ameuawa kikatili kwa kuchinjwa kisha kuachanishwa kichwa na kiwiliwili.